Jinsi ya Kubadilisha Ujuzi wako wa Civil Engineering Kuwa PESA.!

Je Wewe Ni Graduate/Upcoming Graduate Civil Engineering (Diploma au Bachelor).?


"Gundua Siri Ambazo Zitakusaidia Kubadilisha Maisha Yako Kutumia Taaluma Yako ya Civil EngineeringAmbazo CHUONI Hufundishwi: Hatua kwa Hatua"



Maisha Baada ya Chuo Civil Engineer/Technician


Umemaliza Masomo yako au uko kwenye hatua za Mwisho za Kumaliza Lakini Uko Katika HOFUWASIWASISINTOFAHAMU na SHAKA ya Maisha Mtaani, 

HUJUI Utafanya Nini.? 

HUJUI Ufanye Nini au 

UANZIE Wapi..?..

Umeshakaa Mtaani Tayari Unafanya Vitu Lakini HAVIENDI.?

Unaangaika.. Huna Connection.. 

Connection Ulizokuwa Nazo Hazina Msaada.. Hujui Utumie Gia Ipi Nyingine..

Hujui Elimu yako [Ujuzi Uliopata] Utumie Vipi Ikupe Matokeo.. 

Unajiuliza Utapata wapi Fursa za Kazi au Ajira.? 

Hujui Uanzia wapi Kutengeneza Pesa kwa Kutumia Elimu yako Chuo?

Hujui Vitu Vinavyohitajika ili Kukusaidia Kupata Kazi katika Makampuni Makubwa ya Ujenzi.?

Hujui Nijiandae Vipi na Interview za Kazi UTUMISHI Ili Nipate Matokeo..

Unajiuliza Ukitaka Kujiajiri Uanzie Wapi Hata Kama Una Mtaji Kidogo..



Kama Ni Mhitimu/Mwanafunzi wa Civil Engineering (Bachelor na Diploma), Pamoja na Civil Technicians na Engineers, Nitakusaidia Kupata Ajira Serikalini (UTUMISHI), Kwenye Makampuni Binafsi kwa Kukujengea Ujuzi wa Ajira (Employability Skills) na Ujuzi wa Kitaaluma (Technical Skills). Pia Nitakusaidia Kujiajiri kwa Kutumia Taaluma yao Kwa Kuwajengea Ujuzi wa Biashara ya Kitaalamu (Expert Business Skills) Pamoja na Uwekezaji..

Hallo Jina Langu Naitwa Tony Mbugi..

Naishi Mikahawani, Mbeya – Tanzania...

Ni Civil & Water Resource Engineer , Director, Author (3 Plus Books)Instructor/Tutor , Content Creator (The CivilEngineers Hub) na Coach & Mentor..


Tony Mbugi Picture



NEST Account


Tony Mbugi MUST Bibliograhy


The CivilEngineers Hub YouTube Channel


Kila Nikikumbuka Ni Kama Jana TU.!! 


Ilikuwa 2018, Baada ya Kumaliza Chuo Nikiwa na G.P.A Nyumba 4.9, Overall Best Finalist Student Under University LevelTop performerThree Times Consecutive in a Row Best Student in My Department [Civil Engineering]..



Tony Mbugi Certificates

Nimemaliza Nimeingia Mtaani .. Maisha Yakaanza Kuninyoosha...🙌

Sijui Naanzia Wapi... Sina Moja Wala Mbili Wale Wote Waliokuwa Wameniahidi Kusema Ukimaliza Tu Dogo Michongo Ipo Tutakuunganisha Kila Mmoja Nae Mpigia Ananikwepa Kama Nina UKOMA....😨

Nyingi Kwenye Cheti Lakini Sijui Nazitumia Vipi Na Naanzia Wapi.?🙌

Kila Kampuni Binafsi, Boss Niliyekuwa Najaribu Kuenda Kum-Approach Na Kupeleka Barua Nipate Kazi Alikuwa Anaishia Tu Kuniangalia Huyu Dogo Vipi na Kuniambia [Acha Hapa BARUA Tutakuita Lakini Wapi O-L-A..!!]..😢

Kukosa Muelekeo Ulionyooka Wakuniongoza Kulinifanya Niingie Kwenye Biashara ya Crypto Currency Kipindi icho Nilianza na [Humaniq_Coin, XrpZero, Faharicash, Ethereumcashpro] Niliingia Kwenye Ponzi Scheme [Get Rich Quick] Kama Vile M9 BitcoinSunrise CommunityPerfect ChoiceMinejemminingMoney GuruCryptominingfarm Niliisha Kutapeliwa Baki ya Pesa Yote Niliokuwa Nimesave na Mpaka Kuonekana Tapeli Kwa Marafiki zangu Niliowashawishi Wajiunge Kwenye Hizo Schemes Akiwemo Michael Mihayo , Elton John..

Nikasema Nijaribu Kubeti Kipindi Icho Ilikuwa M-Bet Ndo Inabamba Sana..😆...

Lakini Yote H.O.L.L.A... 

Mpaka Pale Nilipokaa na Kujifunza Kutoka Kwa Mana Director wa Kampuni Kubwa Zaidi ya 50, Kuwasaka HR wanaosupervise Interview Katika Taasisi Mbalimbali, Na Kuwatafuta Wataalamu Mbalimbali wa Mambo ya Kubadilisha Ujuzi wako Kuwa Pesa Kwa Kozi za Kulipia Ndipo Nikaja Kungunduza SIRI Nyingi Zilizonisaidia Mpaka Nikaweza...

....Kupata Kazi Katika Makampuni Binafsi zaidi ya Matano ya Ukandarasi Bila Changamoto. [MTCCMACICOHANOVIDEFCAG'S]


....Kufaulu Usaili wa Kazi Zote za UTUMISHI Kada ya Civil Engineering & Construction Nilizoudhuria Mpaka Kupata Kazi




....Kutengeneza Zaidi ya Milion 1M yangu ya Kwanza Kabisa Kupitia Kujiajiri Kwa Ujuzi wangu wa Darasani wa Civil Engineering Tu na Computer!














Ndio Maana Nimeandaa Program Hii ya:


Badilisha Ujuzi Wako wa Civil Engineering Kuwa PESA



Program Ambayo Itakusaidia Hatua kwa Hatua wewe kama Professions from Civil Engineering (Diploma & Degree) - [Student & Graduate] Kujua Jinsi ya Kuingiza PESA Kwa Kutumia Taaluma Yako ya Civil Engineering.!



Kupitia Muda - Kupitia Maarifa - Kupitia Bidhaa - Kupitia Huduma & Kupitia PESA..




Ndani ya Program Hii, Utajifunza;-


1.Ujuzi wa Kitaalamu (Technical Skills) ili Kupata PESA Kupitia HUDUMA Yako!


2.Ujuzi wa Ajira (Employability Skills) ili Kuingiza PESA Kupitia MUDA Wako (Ajira Serikali au Katika Makampuni Binafsi)!


3.Ujuzi wa Digital Skills ili Kuingiza PESA Kupitia Maarifa Yako!


4.Ujuzi wa Ujasiriamali na Kujiajiri ili Kuingiza PESA Kupitia Bidhaa!


5.Ujuzi wa Uwekezaji ili Kuingiza PESA Kupitia PESA



Requirements


Hauhitaji  Experience Yoyote Ni Utayari wako TU wa Kujifunza na Kufanyia Kazi Ulichojifunza ili Kupata Matokeo.



Je, Una Mashaka..?!


Tizama Wenzako Waliowahi Kupata Mafunzo Haya ..

Wanachosema....



























Yaliyomo Ndani ya Program;


  • UTANGULIZI

1. Kuhusu Program  Hatua za Kupata Kazi, Kujiajiri na Kuwekeza Kama Civil Engineer/Technician

2. Elimu ya Kitaalamu ya “Civil Engineering” Uliyosoma Umuhimu wake ni Upi?

3. Unachohitaji Kukijua Kuhusu Soko la Ajira Kwenye Construction Industry..

4. Mambo yanayochangia Mafanikio Katika Safari yako Mtaani.

5. Njia Rahisi ya Kuingia ya Kuanza Safari Yako ya Mafanikio...

6. Ngazi za Mafanikio na Jinsi ya Kuzifikia Hatua Kwa Hatua


  • KAZI KATIKA MAKAMPUNI BINAFSI CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

7. Jinsi ya Kutafuta Kazi Kwa Wakandarasi

8. Mambo Makuu (4) yanayochangia kwa Asilimia Kubwa Kupata Kazi Kwa Wakandarasi...

9. Aina za Ujuzi Muhimu Unaotakiwa Kuwa Nao Ukiwa Unafanya Kazi kwa ”Wakandarasi.”.

10. Maarifa Muhimu Kwenye Kazi za Ujenzi.....

11. Makablasha “Construction Documents” Muhimu Kwa Ajili ya Usimamizi wa Miradi.”...

12. Changamoto Zinazopatikana Ukiwa Unafanya Kazi Kwa Wakandarasi.....

13. Kazi Na Majukumu Yako Kama Mtaalamu Ukiwa Kwa Mkandarasi...

14. Jinsi ya Kutafuta Kazi Kwa Wakandarasi

15. Tofauti zilizopo Kati ya Kufanya Kazi kwa Mkandarasi na Kuajiriwa Serikalini..


  • AJIRA SERIKALINI CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

15. Jinsi ya Kutafuta Kazi za Serikali [Civil Engineering] & Mambo ya Kuzingatia Katika Maombi Ya Kazi za Serikali.

16. Jinsi ya Kujiandaa na Usaili wa Kazi za Serikali [UTUMISHI] Civil Engineer/Technician ili Kupata Matokeo...

17. Makosa Wakati wa Maombi na Usaili wa Kazi

18. Mambo ya Kufanya Civil Engineer/Technician Wakati Bado Unatafuta Ajira na Huko Kipindi cha Kusubiri.


  • AJIRA BINAFSI [KUJIAJIRI] CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

19. Vitu vya Kuzingatia Unapotaka Kujiajiri Civil Engineer/Technician

20. Jinsi Ya Kujiajiri Kupitia Ujuzi wako wa Darasani [Civil Engineering]

21. Step by Step Jinsi ya Kufungua Kampuni Yako ya Ujenzi “Civil Technician/Engineer


  • KUTENGENEZA KIPATO NJE NA CAREER YA CIVIL ENGINEERING..

22. Jinsi ya Kutengeneza Kipato Nje na Career ya Civil Engineering...

23. Jinsi ya Kuanza Uwekezaji na Kukuza Mtaji wako Bila Hatari Yoyote 100%...

24. Hitimisho


BONASI Zinazoambata na Hii Program... (Zenye Thamani Ya Tsh. 160,000/= ) Unapata BURE.!!


BONASI # 1: Utapata Kitabu BURE Kinachokuelekeza Hatua kwa Hatua Jinsi ya Kuandaa [Wasifu] CV yenye Kiwango Kuvutia Kupata Kazi...(Huwa inalipiwa Tshs 5,000).

BONASI # 2: Utapewa usaidizi BURE Jinsi ya Kutafuta Kazi na Ushauri Jinsi ya Kuanzaa Kutafuta Kazi ....(Huwa inalipiwa Tshs 10,000).

BONASI # 3: Unaungwa BURE Kwenye Group la WhatsApp VIP Kwa Ajili ya Kupatiwa Usaidizi wa Karibu Muda Wote… (Huwa Linalipiwa Tshs 20,000).

BONASI # 4: Utapata Usimamizi na Usaidizi Mpaka Upate Matokeo BURE Katika Interviews za Kazi Ajira Portal Kada ya Civil Engineering… (Wengine huwa wanalipia Tshs 70,000 kwa sasa).

BONASI # 5: Unapata Program na Kitabu BURE cha Kuanzaa Kutengeneza Kipato Nje na Career yako...(Thamani yake Ni Tshs 25,000)

BONASI # 6: Unapata Madarasa Matatu na Vitabu BURE vya Kuanzaa Uwekezaji Ambao Ni Risk Free 100% Kukuza Kipato Chako...BURE..BURE...BURE!......(Thamani yake Ni Tshs 30,000)



JUMLA (PROGRAM & BONASI) NI: Tsh. 310,000/=


Ila Kwa Sababu Hujawahi Kupata Kitu cha Thamani Chochote Kutoka Kwangu Na Ndio Mara Yako ya Kwanza Kufanya Kazi na Mimi Leo 

Utapata Program Kwa Bei ya OFA ya Kufa Mtu...

Tsh. 70,000/=

Ni OFA inayokalibiana Sawa na Kulipia Bei ya Bundle la Internet 🖁🖁 UNLIMITED la Mwezi Mmoja TU..

Kwa Mwezi Huu Tunawasaidia Watu wa 5 TU wa Kwanza Watakaolipia Ndani ya Masaa 24..!!

(Ukiwahi Kulipia Utakuwa Umeokoa Asilimia (77%) Yaani Tsh. 240,000/=) 

Lipia Sasa Kwa LIPA Namba (M-Pesa) - 51182404 Jina Tony Mbugi

Kisha Nitumie Uthibitisho wa Muamala Kwa Njia ya WhatsApp Namba - (0746 452 103) Ndani ya Masaa 12 ili Nikuunge Katika [MAFUNZO]...


Labda Unaweza Kuwa Una Mashaka...


1. Vipi Nisipopata MATOKEO Inamaana Pesa Yangu Ndio itakuwa imepotea Hivyo?...

USIJALI…Kwani Unalindwa na Hii GUARANTEE hapa chini…


Ikitokea Baada ya Kupitia Program Hii na Kufanya Yote Yanayotakiwa Ndani ya Miezi 3 Bila Matokeo Yoyote Basi Utarudishiwa PESA yako au Utaendelea Kuwa Ndani ya Program Mpaka Utakapopata Matokeo!


Guarantee Button

TAHADHARI: Ofa Hii Ni Kwa Watu wa Tano (5) TU Waliolipia Ndani ya Masaa 24 Tu …Kwahiyo Wahi Lipia SASAHIVI ili Usikose OFA Hii!


P. S. OFA hii ni ya Masaa 24 Tu… ina maana baada ya Masaa 24 NDIO Basi…

….na Kibaya zaidi ni Kwamba Usipolipia Sasa Hivi Utakosa na BONASI Zote Zenye Thamani ya Tshs 160,000 BURE

Kwahiyo Wahi Chukua HATUA Sasahivi ⏰⌚..


Kwa Swali Lolote Nifatute WhatsApp @ 0746-452-103