Jinsi ya Kubadilisha Ujuzi wako wa Civil Engineering Kuwa PESA.!

"Gundua Siri Ambazo Watu Wengi Hawaambiwi – Hatua kwa Hatua"


PESA na ELIMU Ni Vitu Ambavyo Havihusiana Kabisa!..Kabisa..!

Kuwa na Elimu Ni Kitu cha Kwanza na Kuifanya Elimu yako Iwe PESA Ni Kitu Pili.!

. . . Ilinichukua Miaka 8 Kujua Kuwa:


"PESA Haitafutwi, PESA inaingizwa.."


Hata Ufanyaje Huwezi Kuitafuta PESA! Kwa Sababu PESA Haitafutwi.. 

.

PESA iko Ndani ya Mtu Tayari Usipoonyeshwa Tu cha kufanya ili Uipate Basi Huwezi Kuipata... Kwa Sababu Haiko Unakoitafuta Iko Ndani Yako Tayari.

.

Wote wanaoitafuta PESA Tu! Kama Neno Lilivyo PESA Ndio Watu Wanaoishia Kufanya Kazi NGUMU MNO! Bila Manufaa Yoyote Mpaka wanakufa!


                                      NA..


..Elimu ya Kitaalamu (Professional Education - Civil Engineering) unayoipata CHUONI Haikufundisha Jinsi ya Kutengeneza PESA au Jinsi ya Kubadilisha Ujuzi wako Kuwa PESA...Kwenye Curriculum 


Kama Ingekuwa NDIO Hivyo Wangapi Ambao wewe Binafsi Unawajua Wamesoma na Bado Mambo Mbombo Ngafu!!


Ndio Maana Nimeenda, Program Ambayo Itakusaidia Wewe Hatua Kwa Hatua:


Kubadilisha Ujuzi Wako wa Civil Engineering Kuwa PESA!

Kama Nilivyokuambia Mwanzo Kule Juu 

PESA Haitafutwi PESA Inaingizwa..


Na PESA Inaingizwa Kwa Njia Hizi Hapa Tano (5):


1. Kubadilisha Muda na PESA 

Hii Ni Kuwa Mwajiriwa, Mfumo Mzima wa Elimu Unatufundisha Njia Hii 

Tunajengwa Kisaikolojia Kwa Ajili ya Hili.

Hapa Unahitaji Kujua Tu Unapataje Kazi au Ajira..

.

2. Kubadilisha Bidhaa na PESA

Hii Ni Njia ya Kuuza Kitu yaani Unakuwa na Bidhaa Ambayo Wewe Umeiandaa Kwa Kutumia Ujuzi wako wa Civil Engineering Ikisha Unaiuza Kwa Walengwa Ambao Ni Wahitaji wa Hicho Kitu Chako!

Huhitaji Mtaji Mkubwa ila Unahitajika Kujua Mlengwa wa Bidhaa Yako Ni Nani Haswa Na Je Unaweza Kumsaidia Kutatua Changamoto Yake Na Hiyo Bidhaa Yako Unayowaza Kuiandaa Kabla Hata ya Kuwaza Kuuza!

.

3. Kubadilisha Huduma na PESA

Hapa Unapata PESA kwa Kufanya Kitu Kwa Watu yaani Ujuzi wako wa Civil Engineering Uliokuwa Nao wa Kuweza Kufanya Kitu Kwa Ajili ya Watu Fulani ili Watu wakupe PESA.

Huhitaji Mtaji Mkubwa Pia ila Unahitajika Kuwa Very Very Experienced and Expert Lakini Pia Kujua Hao Watu Unaotaka Kuwa Hudumia Wako Wapi na Unawapata Kwa Njia Zipi!

.

4. Kubadilisha Maarifa na PESA

Hapa Ni Kwamba Unabadilisha  Taarifa au Maarifa Uliyokuwa Nayo au Kitu Unachokijua Kuhusu Jambo Fulani na PESA!

Huhitaji Mtaji Mkubwa Pia ila Unahitajika Kuwa na Taarifa Nzuri Mno na Ujue Mlengwa au Mtu Mwenye Huhitaji na Hayo Maarifa au Taarifa Yako Anasumbuliwa na Changamoto Gani Na Anapatikana Vipi!

.

5. Kubadilisha Pesa na PESA!

Hii Ndiyo Level ya Mwisho ya Mafanikio Yana Unapata PESA Kupitia PESA Ulizokuwa Nazo!

Hapa Unahitaji Akili Na PESA Tu Ili Kupata PESA Zaidi!

.

Ndio Program Yenye Ni Hii


Turn Civil Engineering Knowledge into INCOME


Itakusaidia hatua kwa hatua wewe kama Professions from Civil Engineering (Diploma & Degree) - [Student & Graduate] Kujua Jinsi ya Kuingiza PESA Kwa Njia Zote Hizo Tano Kwa Kutumia Taaluma Yako ya Civil Engineering.!


Kupitia Ajira/Kazi (Kuajiriwa) - Kupitia Maarifa - Kupitia Bidhaa - Kupitia Huduma & Kupitia PESA




Ndani ya Program Hii, Utajifunza;-


1.Ujuzi wa Kitaalamu (Technical Skills) ili Kupata PESA Kupitia HUDUMA Yako!


2.Ujuzi wa Ajira (Employability Skills) ili Kuingiza PESA Kupitia MUDA Wako (Ajira Serikali au Katika Makampuni Binafsi)!


3.Ujuzi wa Digital Skills ili Kuingiza PESA Kupitia Maarifa Yako!


4.Ujuzi wa Ujasiriamali na Kujiajiri ili Kuingiza PESA Kupitia Bidhaa!


5.Ujuzi wa Uwekezaji ili Kuingiza PESA Kupitia PESA



Requirements


Hauhitaji  Experience Yoyote Ni Utayari wako TU wa Kujifunza na Kufanyia Kazi Ulichojifunza ili Kupata Matokeo.



Je, Una Mashaka..?!


Tizama Wenzako Waliowahi Kupata Mafunzo Haya ..

Wanachosema....




























Yaliyomo Ndani ya Program;


  • UTANGULIZI

1. Kuhusu Program  Hatua za Kupata Kazi, Kujiajiri na Kuwekeza Kama Civil Engineer/Technician

2. Elimu ya Kitaalamu ya “Civil Engineering” Uliyosoma Umuhimu wake ni Upi?

3. Unachohitaji Kukijua Kuhusu Soko la Ajira..

4. Mambo Mawili yanayochangia Mafanikio Katika Safari yako Ukiwa Mtaani.

5. Njia Rahisi ya Kuingia Kwenye Soko la Ajira...

6. Ngazi za Mafanikio na Jinsi ya Kuzifikia Hatua Kwa Hatua


  • KAZI KATIKA MAKAMPUNI BINAFSI CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

7. Mambo Makuu (4) yanayochangia kwa Asilimia Kubwa Kupata Kazi Kwa Wakandarasi...

8. Aina za Ujuzi Muhimu Unaotakiwa Kuwa Nao Ukiwa Unafanya Kazi kwa ”Wakandarasi.”.

9. Maarifa Muhimu Kwenye Kazi za Ujenzi.....

10. Makablasha “Construction Documents” Muhimu Kwa Ajili ya Usimamizi wa Miradi.”...

11. Changamoto Zinazopatikana Ukiwa Unafanya Kazi Kwa Wakandarasi.....

12. Kazi Na Majukumu Yako Kama Mtaalamu Ukiwa Kwa Mkandarasi...

13. Jinsi ya Kutafuta Kazi Kwa Wakandarasi

14. Tofauti zilizopo Kati ya Kufanya Kazi kwa Mkandarasi na Kuajiriwa Serikalini..


  • AJIRA SERIKALINI CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

15. Jinsi ya Kutafuta Kazi za Serikali [Civil Engineering]

16. Mambo ya Kuzingatia Katika Maombi Ya Kazi za Serikali.

17. Jinsi ya Kujiandaa na Usaili wa Kazi za Serikali [UTUMISHI] Civil Engineer/Technician ili Kupata Matokeo...

18. Makosa Wakati wa Maombi na Usaili wa Kazi

19. Mambo ya Kufanya Civil Engineer/Technician Wakati Bado Unatafuta Ajira na Huko Kipindi cha Kusubiri.


  • AJIRA BINAFSI [KUJIAJIRI] CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

20. Vitu vya Kuzingatia Unapotaka Kujiajiri Civil Engineer/Technician

21. Jinsi Ya Kujiajiri Kupitia Ujuzi wako wa Darasani [Civil Engineering]

22. Step by Step Jinsi ya Kufungua Kampuni Yako ya Ujenzi “Civil Technician/Engineer


  • KUTENGENEZA KIPATO NJE NA CAREER YA CIVIL ENGINEERING..

23. Jinsi ya Kutengeneza Kipato Nje na Career ya Civil Engineering...

24. Jinsi ya Kuanza Uwekezaji na Kukuza Mtaji wako Bila Hatari Yoyote 100%...

25. Hitimisho


BONASI Zinazoambata na Hii Program... (Zenye Thamani Ya Tsh. 145,000/= ) Unapata BURE.!!


BONASI # 1: Utapata Kitabu BURE Kinachokuelekeza Hatua kwa Hatua Jinsi ya Kuandaa [Wasifu] CV yenye Kiwango Kuvutia Kupata Kazi...(Huwa inalipiwa Tshs 5,000).

BONASI # 2: Utapewa usaidizi BURE Jinsi ya Kutafuta Kazi na Ushauri Jinsi ya Kuanzaa Kutafuta Kazi ....(Huwa inalipiwa Tshs 10,000).

BONASI # 3: Unaungwa BURE Kwenye Group la WhatsApp VIP Kwa Ajili ya Kupatiwa Usaidizi wa Karibu Muda Wote… (Huwa Linalipiwa Tshs 20,000).

BONASI # 4: Utapata Usimamizi na Usaidizi Mpaka Upate Matokeo BURE Katika Interviews za Kazi Ajira Portal Kada ya Civil Engineering… (Wengine huwa wanalipia Tshs 70,000 kwa sasa).

BONASI # 5: Unapata Program na Kitabu BURE cha Kuanzaa Kutengeneza Kipato Nje na Career yako...(Thamani yake Ni Tshs 25,000)

BONASI # 6: Unapata Madarasa Matatu na Vitabu BURE vya Kuanzaa Uwekezaji Ambao Ni Risk Free 100% Kukuza Kipato Chako...BURE..BURE...BURE!......(Thamani yake Ni Tshs 15,000)


JUMLA (PROGRAM & BONASI) NI: Tsh. 295,000/=


Ila Kwa Sababu Hujawahi Kupata Kitu cha Thamani Chochote Kutoka Kwangu Na Ndio Mara Yako ya Kwanza Kufanya Kazi na Mimi Leo 

Utapata Kwa Bei ya OFA ya Kufa Mtu...

Tsh. 70,000/= TU!

Ni Sawa na Kulipia T-Shirt 👕 Mbili na Jeans 👖Moja Ambayo Ukiivaa Inachakaa na Haikusaidi Kutengeneza Hela Nyingine ila Unachokipata Baada ya Kulipia Haya MAFUNZO yana uhakika wakukulipa Milele Kama Utafata Kila Ambacho Kimefundishwa!

Kwa Mwezi Huu Nawasaidia Watu wa 5 TU wa Kwanza Watakaolipia Ndani ya Masaa 24..!!

(Ukiwahi Kulipia Utakuwa Umeokoa Asilimia (76%) Yaani Tsh. 225,000/=) 

Lipia Sasa Kwa LIPA Namba (M-Pesa) - 51182404 Jina Tony Mbugi

Kisha Nitumie Uthibitisho wa Muamala Kwa Njia ya WhatsApp Namba - (0746 452 103) Ndani ya Masaa 12 ili Nikuunge Katika [MAFUNZO]...


Labda Unaweza Kuwa Una Mashaka...


1. Vipi Nisipopata MATOKEO Inamaana Pesa Yangu Ndio itakuwa imepotea Hivyo?...

USIJALI…Kwani Unalindwa na Hii GUARANTEE hapa chini…


Ikitokea Baada ya Kupitia Program Hii na Kufanya Yote Yanayotakiwa Ndani ya Miezi 3 Bila Matokeo Yoyote Basi Utarudishiwa PESA yako au Utaendelea Kuwa Ndani ya Program Mpaka Utakapopata Matokeo!


Guarantee Button

TAHADHARI: Ofa Hii Ni Kwa Watu wa Tano (5) TU Waliolipia Ndani ya Masaa 24 Tu …Kwahiyo Wahi Lipia SASAHIVI ili Usikose OFA Hii!


P. S. OFA hii ni ya Masaa 24 Tu… ina maana baada ya Masaa 24 NDIO Basi…

….na Kibaya zaidi ni Kwamba Usipolipia Sasa Hivi Utakosa na BONASI Zote Zenye Thamani ya Tshs 145,000 BURE

Kwahiyo Wahi Chukua HATUA Sasahivi ⏰⌚..


Kuhusu Mtoa Mafunzo..


Tony Mbugi Picture

Jina Langu ni Tony Mbugi,..

Naishi Mikahawani, Mbeya – Tanzania...

Ni Mhandisi Ujenzi “Civil Engineer, Lecturer, Tutor na ni Director katika Kampuni ya Ujenzi Class V.









Kwa Swali Lolote Nifatute WhatsApp @ 0746-452-103