Kozi ya Maisha Baada ya CHUO kama Civil Engineer/Technician..

Description

Je, Umemaliza Chuo au Uko Mwaka wa Mwisho wa Civil Engineering lakini Hujui uanzie wapi? Kozi hii ni kwa ajili yako.

“Program Maisha Baada ya Chuo kwa Civil Engineers/Technicians” ni Kozi ya Kipekee inayotoa Mwongozo sahihi wa hatua kwa hatua kwa wahitimu wa Civil Engineering (Diploma & Degree) Wanaotaka Kujiandaa na maisha ya Mtaani baada ya chuo iwe ni kupata ajira, kujiajiri au Kuwekeza kwa Mafanikio.

Program Maisha Baada ya Chuo kwa Civil Engineers/Technicians


Muongozo kwa Wahitimu na Wanafunzi wa Civil Engineering: Jenga Ujuzi wa Kupata Ajira, Kujiajiri na Kuanzisha Uwekezaji.!


Ndani ya Kozi Hii, Utajifunza;-


1.Ujuzi wa Kitaalamu (Technical Skills) Muhimu Kwenye Soko la Ajira Katika Field ya Civil Engineering & Construction.

2.Ujuzi wa Ajira (Employability Skills) Utakaokuwezesha Kupata Kazi Serikalini au Katika Makampuni Binafsi [Wakandarasi].

3.Ujuzi wa Digital Skills ili Kuwezesha Kujiajiri Kutumia Maarifa na Ujuzi wako wa Darasani.

4.Ujuzi wa Ujasiriamali na Kujiajiri Kuongeza Maarifa zaidi ya Kutengeneza Kipato Nje na Field ya Civil Engineering.

5.Ujuzi wa Uwekezaji ili Kukuza Mtaji wako Na Kuandaa Future ya Kudumu.


Requirements


Hauhitaji Skill wala Experience Yoyote Ni Utayari wako TU wa Kujifunza na Kufanyia Kazi Ulichojifunza ili Kupata Matokeo.


Yaliyomo Ndani ya Program;


  • UTANGULIZI

1. Kuhusu Program ya Maisha Baada ya CHUO Kama Civil Engineer/Technician

2. Unachohitaji Kukijua Kuhusu Soko la Ajira..

3. Elimu ya Kitaalamu ya “Civil Engineering” Uliyosoma Umuhimu wake ni Upi?

4. Mambo Mawili yanayochangia Mafanikio Katika Safari yako Baada ya Kumaliza Chuo

5. Njia Rahisi ya Kuingia Kwenye Soko la Ajira...


  • AJIRA KATIKA MAKAMPUNI BINAFSI CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

6. Mambo Makuu (4) yanayochangia kwa Asilimia Kubwa Kupata Kazi Kwa Wakandarasi...

7. Aina za Ujuzi Muhimu Unaotakiwa Kuwa Nao Ukiwa Unafanya Kazi kwa ”Wakandarasi.”.

8. Maarifa Muhimu Kwenye Kazi za Ujenzi.....

9. Makablasha “Construction Documents” Muhimu Kwa Ajili ya Usimamizi wa Miradi.”...

10. Changamoto Zinazopatikana Ukiwa Unafanya Kazi Kwa Wakandarasi.....

11. Kazi Na Majukumu Yako Kama Mtaalamu Ukiwa Kwa Mkandarasi...

12. Tofauti zilizopo Kati ya Kufanya Kazi kwa Mkandarasi na Kuajiriwa Serikalini..


  • AJIRA SERIKALINI CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

13.Mambo ya Kuzingatia Kwa Ajili Ya Maombi Ya Kazi za Civil Engineering [UTUMISHI].

14. Mbinu zakutumia Kujiandaa na Usaili wa Kuandika Kada ya Uhandisi & Ujenzi...

15. Mambo ya Kufanya Civil Engineer/Technician Baada ya Kutafuta Ajira Bila Matokeo.


  • AJIRA  BINAFSI [KUJIAJIRI] CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

16. Jinsi Ya Kujiajiri Mtandaoni Kupitia Ujuzi wako wa Darasani [Civil Engineering]

17. Step by Step Jinsi ya Kufungua Kampuni Yako ya Ujenzi “Civil Technician/Engineer


  • KUANZA UWEKEZAJI CIVIL ENGINEER/TECHNICIAN..

18. Sekta 9 za Kiuchumi Ambazo Kila “Civil engineer/Technician” Anaweza Akawekeza...

19. Sehemu Kuu Tatu za Kuwekeza na Kukuza Mtaji wako Ambazo Risk Free 100%...

20. Hitimisho


Gharama za Program Hii Ni..

Tsh. 150,000/=

Ila Kwa Sababu Hujawahi Kupata Kitu cha Thamani Chochote Kutoka Kwangu Na Ndio Mara Yako ya Kwanza Leo Hii na Unahitaji Kweli Kushikwa Mkono Basi Kwa Ajili Yako Utapata Kwa Bei ya OFA ya Kufa Mtu...💪

Tsh. 10,000/= TU! TU! 

Ni Sawa na Kulipia T-Shirt 👕 Moja Ambayo Ukiivaa Inachakaa na Haikusaidi Kutengeneza Hela Nyingine ila Unachokipata Baada ya Kulipia Haya MAFUNZO yana uhakika wakukulipa Milele Kama Utafata Kila Ambacho Kimefundishwa

Na Hii OFA Ni Kwa Watu 20 TU wa Kwanza Ndani ya Masaa 24..!!

(Ukiwa Kulipia Utakuwa Umeokoa Asilimia (93%) Yaani Tsh. 140,000/=) 

=> Lipia Sasa Kwa LIPA Namba (Voda) - 5243942 Jina Tony Mbugi

Kisha Nitumie Uthibitisho wa Muamala Kwa Njia ya WhatsApp Namba - (0746 452 103) Ndani ya Masaa 12 ili Nikuunge Katika [MAFUNZO]...






BONASI Zinazoambata na Hii Program... (Zenye Thamani Ya Tsh. 165,000/= ) Unapata BURE.!!


BONASI # 1: Utapata Kitabu BURE Kinachokuelekeza hatua kwa hatua Jinsi ya Kuandaa [Wasifu] CV yenye kiwango ...(Huwa inalipiwa Tshs 5,000).

BONASI # 2: Utapewa usaidizi BURE Kufungua Akaunti ya Ajira Portal na Kujaza Taarifa zako zote Mpaka Kufikisha Asilimia za Kuanza Kuomba Kazi na Barua zote za Kutafuta Kazi na Ushauri Jinsi ya Kuanzaa Kutafuta Kazi ....(Huwa inalipiwa Tshs 20,000).

BONASI # 3: Unaungwa BURE Kwenye Group la WhatsApp VIP Kwa Ajili ya Kupatiwa Usaidizi wa Karibu Muda Wote… (Huwa Linalipiwa Tshs 10,000).

BONASI # 4: Utapata Kitabu BURE cha Jinsi ya Kujiandaa na Interviews yoyote ile ya Kuandika UTUMISHI kada ya Civil Engineering… (Wengine huwa wanalipia Tshs 30,000 kwa sasa).

BONASI # 5: Unapata Program na Kitabu BURE cha Kuanzaa Kutengeneza Kipato Nje na Career yako...(Thamani yake Ni Tshs 25,000)

BONASI # 6: Unapata Madarasa Matatu na Vitabu BURE vya Kuanzaa Uwekezaji Ambao Ni Risk Free 100% Kukuza Kipato Chako...BURE..BURE...BURE!......(Thamani yake Ni Tshs 15,000)

BONASI # 7: Unapata Access ya Darasa BURE Njia 5 za Kutengeneza Pesa ...BURE...BURE...BURE!....(Ikiwe ni Sehemu ya Kozi Yenye Thamani ya Tshs 60,000)


Labda Unaweza Kuwa Una Mashaka...


1. Vipi Kama Simu Yangu Imepotea Ndio Napoteza Kila Kitu.?

Hapana...Kwani Unalindwa na Hii GUARANTEE Utanitafuta kwa WhatsApp Kisha Nitakupatia Access ya Kila Kitu Tena.

2. Vipi Nisipopata MATOKEO Inamaana Pesa Yangu Ndio itakuwa imepotea Hivyo?...

USIJALI…Kwani Unalindwa na Hii GUARANTEE hapa chini…


Ikitokea Hujapata Kati ya Haya Matokeo, Moja Hujapata Pa Kuanzia Baada ya Kupitia Hii Program, Hujafaulu Written Interview Kati ya 3 Ulizoudhuria, Hujaweza Kuanzaa Kuwekeza Katika Chochote au Kujifunza Chochote Ambacho Kitakuingizia Pesa Ambacho Ndani ya Program Hii… basi Nitumie Ujumbe “0746-452-103” ili Nikurudishie Pesa yako bila Kukuuliza Swali lolote na Access ya Kila Kitu Unabaki Nayo… (kwahiyo hakuna RISK yoyote upande wako hamna cha Kupoteza)


Guarantee Button

TAHADHARI: Ofa Hii Itakuwa Hewa Kwa Gharama Hizo Kwa Muda wa Masaa 24 Tu …Kwahiyo Wahi Lipia SASAHIVI ili Usikose OFA Hii Kabla ya Kurudi Kwenye Gharama ya Juu zaida Tsh 150,000/=


P. S. OFA hii ni ya Masaa 24 Tu… ina maana baada ya Masaa 24 Kupita Hiki PROGRAM Itapatikana kwa Tshs 150,000…

….na Kibaya zaidi ni Kwamba Usipolipia Sasa Hivi Utakosa na BONASI Zote Zenye Thamani ya Tshs 165,000 BURE

Kwahiyo Wahi Chukua HATUA Sasahivi ⏰⌚ ili Kuepuka Gharama za Ziada!..

Kuhusu Mtoa Mafunzo..


Tony Mbugi Picture

Jina Langu ni Tony Mbugi,..

Naishi Mikahawani, Mbeya – Tanzania...

Ni Mhandisi Ujenzi “Civil Engineer” nimesajiliwa na Bodi ya wahandisi ERB -Tanzania, lakini pia ni Lecturer na ni Director katika Kampuni ya Ujenzi Class V “AFRIKWANZA ENGINEERING AND CONSTRUCTION LIMITED, P.O Box 4209 Mbeya”.

......Ninawasaidia Wahitimu na Wahitimu Watarajiwa Kada ya Uhandisi Ujenzi “Civil Engineering” Ngazi ya Diploma na Bachelor Kujenga Ujuzi Wenye Kuleta Matokeo Unaowasaidia Katika Kupata Ajira/Kazi, Kujiajiri, Kutengeneza na Kukuza Kipato....”









Jiunge Kwenye Group la WhatsApp @ https://chat.whatsapp.com/Bo9CcnRLw3t4hXNdOZaHAW