Bila MBINU Hizi Graduate and Student from Civil Engineering –Hii Inaweza Kukugharimu Miaka Yako 3 Ijayo Mtaani!

Fatilia Hii Mpaka Mwisho...

Mhitimu au Mhitimu Mtarajiwa Kozi ya Civil Engineering Ngazi ya Diploma au Degree Umemaliza Masomo yako au uko kwenye hatua za Mwisho za Kumaliza Lakini Uko Katika HOFUWASIWASISINTOFAHAMU na SHAKA ya Maisha Baada ya Kumaliza Chuo au Umeingia Mtaani Tayari, HUJUI Utafanya Nini.? HUJUI Ufanye Nini au UANZIE Wapi..?.. Au Umeshakaa Mtaani Tayari Unafanya Vitu Lakini HAVIENDI.?

Maisha Baada ya Chuo Civil Engineer/Technician

Huna Connection.. 

Connection Ulizokuwa Nazo Hazina Msaada.. Hujui Utumie Gia Ipi Nyingine..

Hujui Elimu yako [Ujuzi Uliopata] Utumie Vipi Ukupe Matokeo.. 

Unajiuliza Utapata wapi Fursa za Kazi au Ajira.? 

Hujui Utaanzia wapi Kutengeneza Pesa baada ya Kumaliza Chuo?

Hujui Vitu Vinavyohitajika ili Kukusaidia Kupata Kazi katika Makampuni Makubwa ya Ujenzi.?

Hujui Kama Nahitaji Kujiandaa na Interview za Kazi UTUMISHI Naanzia Wapi.? Nafanyaje.? Najiandaaje..

Nina Mtaji Kidogo Nianzie Wapi.?

Unajiuliza Itachukua Muda gani Kujiajiri au Kupata ajira kama Civil Engineer/Technician?

. .[Hamna Tatizo....] 👍 Hii Iko Kwa Ajili Yako


Ndani ya Dakika 5 Zijazo Utaenda Kujifunza Siri Zaidi ya 15 BURE Jinsi ya Kupata MAFANIKIO Unayotarajia Mtaani Baada ya Kumaliza Chuo Kama Civil Engineer/Technician.

Utaenda Kugundua Mbinu na Siri 15 Zenye Kuleta Matokeo Kwa Haraka Hatua Kwa Hatua Jinsi ya Kutafuta na Kupata Kazi/Ajira, Kutumia Ujuzi na Maarifa yako KujiajiriKutengeneza na Kuongeza KipatoJinsi ya Kuanza Uwekezaji Hata Kama Experience yako ni Sifuri..!!

…”Kila Nikikumbuka Ni Kama Jana TU.!! ” …

Ilikuwa 2018, Baada ya Kumaliza Chuo Nikiwa na G.P.A Nyumba 4.9, Overall Best Finalist Student Under University LevelTop performerThree Times Consecutive in a Row Best Student in My Department [Civil Engineering]..




Nimemaliza Nimeingia Mtaani .. Maisha Yakaanza Kuninyoosha...🙌🙌

Sijui Naanzia Wapi... Sina Moja Wala Mbili Wale Wote Waliokuwa Wameniahidi Kusema Ukimaliza Tu Dogo Michongo Ipo Tutakuunganisha Kila Mmoja Nae Mpigia Ananikwepa Kama Nina UKOMA....😨

Nyingi Kwenye Cheti Lakini Sijui Nazitumia Vipi Na Wapi.?🔥🙌

Kila Kampuni Binafsi, Boss Niliyekuwa Najaribu Kuenda Kum-Approach Na Kupeleka Barua Nipate Kazi Alikuwa Anaishia Tu Kuniangalia Huyu Dogo Vipi na Kuniambia [Acha Hapa BARUA Tutakuita Lakini Wapi O-L-A..!!]..😣😢

Kukosa Muelekeo Ulionyooka Wakuniongoza Kulinifanya Niingie Kwenye Biashara ya Crypto Currency Kipindi icho Nilianza na [Humaniq_Coin, XrpZero, Faharicash, Ethereumcashpro] Niliingia Kwenye Ponzi Scheme [Get Rich Quick] Kama Vile M9 BitcoinSunrise CommunityPerfect ChoiceMinejemminingMoney GuruCryptominingfarm Niliisha Kutapeliwa Pesa Yoyote na Mpaka Kuonekana Tapeli Kwa Marafiki zangu Niliowashawishi Wajiunge Kwenye Hizo Schemes Akiwemo Michael Mihayo , Elton John N.k

Nikasema Nijaribu Kubeti Kipindi Icho Ilikuwa M-Bet Ndo Inabamba Sana..😆.. Lakini Wapi..

Mpaka Mwisho wa Siku Kulikuwa na Dollar 20 ya Marekani ya 2005 Mama Alikuwa Nayo Nyumbani Nilichukua Kwa Sababu Yeye Alikuwa Hafahamu Sana Mambo ya Burea De Change Nikaenda Kuibadilisha Nipate Mtaji..😁😁 Nikapata 48k Nikaanzisha Kamradi Changu Ka Sunrise Huduma Mpaka Nyumbani Natembeza Sabuni za Vipande, Unga na Viberiti...🙌🙌 Nilitembeza Siku Mbili TU ya 3 Siwezi Kuamka Miguu Inauma H.O.I...Hamna Mnunuaji...

Lakini Yote H.O.L.L.A... Jitihada Zangu Ziligonga Mwamba Nikapoteza Kabisa Kila Nilicho Nacho Kwa Sababu Vile Vitu Nilishindwa Kutembeza Tena Vikatumika Vyote Na Nilikataa Tamaa Kabisa Nikaanza Kuamini Kuenda Kwangu Shule Mbona Kama Haku Kuwa Msaada..

Mpaka Pale Nilipokutana na Eng. Lutambi, Eng. Kawiche na Surveyor. Charles Walionifungua Na Kunipa Siri Nyingi Zilizonisaidia Mpaka Nikaweza...

> Kupata Kazi Katika Makampuni Binafsi zaidi ya Matano ya Ukandarasi Bila Changamoto. [MTCCMACICOHANOAFRIKWANZAVIDEFCAG'S]

> Sijawahi Kufeli Usaili wa Kuandika wa Kazi za UTUMISHI Kada ya Civil Engineering & Construction hata Moja Mpaka Napata Kazi.


> Kutengeneza Zaidi ya Milion 2M yangu ya Kwanza Kabisa Kupitia Kujiajiri Katika Sekta Zilizothibitishwa Miaka Nenda Rudi za Biashara na Uwekezaji Ndani ya Miezi Sita TU.

> Kuweza Kutengeneza Zaidi ya Laki 2 Kupitia Ujuzi wa MASOMO Nilioupata Darasi Tu Kupitia Ninachokijua Nikiwa Nimejifungia TU Nyumbani Ambapo Wengine (Wasiona Kazi na Wenye Kazi Lakini Haziwapi Manufaa Makubwa) Wanaupuuzia Wakisubiri Maajabu Yawatoe Hapo Walipo Baada ya Kuanzaa na Walichonacho.

> Jinsi ya Kutengeneza Zaidi ya Tsh. 20,000 Kwa Siku kwa Kwa Kujiongeza Nje na Career Yako.!




Je, Unajua Kwanini Nimekwambi Yote Haya.?! Kwa Sababu Moja Kubwa SOON or LATER Hata Kama Kwa Kuchelewa Utagundua TU Nachokwambia Hapa Chini 👇Ni Ukweli MTUPU!


Kulingana na Takwimu ya Umoja wa Mataifa & Benki ya Dunia (2016) REPOA (2019)TCU (2015 - 2024) Tanzania Kila Mwaka, Maelfu ya Vijana Wanahitimu Ngazi Mbalimbali za Elimu ikiwemo Civil Engineering Diploma na Degree Wakiamini Kuwa Vyeti Vyao Vitawafungulia Milango ya Mafanikio… 

Lakini Wanajikuta Wakiwa Nyumbani Miezi 6, Mwaka 1, hata Miaka 3 bila Kazi Hii ni Kulingana na Takwimu za ILO (2013), wakikosa kabisa Mwelekeo, na bila Msaada wowote.

Wanajikuta wakiwa na Elimu walio ipata kwa Gharama Kubwa lakini  Hawajui hata Waitumie Vipi na Waanzie wapi Baada ya Maisha ya chuo Kuisha na Kuingia Mtaani.

Wengine Wanajiingiza Kufanya Vitu Ambavyo viko Nje Kabisa na Walichosomea [Unprofessional] kama Kubet, Ponzi Schemes, N.k huku wengine wanasubiri “Neema ishuke TU huku wamekaa Majumbani Kwao Wanaota Moto na Kuangalia TV!".

Kila siku mtu Anajikuta kuchoka Kisaikolojia Kukaa tu Bila Mwelekeo, Anatamani hata arudi shule tena maisha yanaonekana yamekwama KABISA..!!

Ajira Hazitangazwi  kwa Mkupuo hivyo za Kuchukua Kijiji cha watu wote mliomaliza na wako mtaani mara moja. Makampuni makubwa binafsi yanataka “wenye experience miaka 3 na kuendelea” na wenye sifa zinazowafaha.

Unataka kujiajiri, lakini hujui uanzaje na wapi pa kupata mitaji.

Unaanza kupoteza ustahimilivu wako na ukiangalia kuna watu wako wakaribu wanaokutegemea wakiaamini baada ya kutoka CHUO utarudi na matokeo MAKUBWA na MABADILIKO Makubwa kama wewe ulivyojiamini utakuwa nayo before.!!.

Hii ni Transition ambayo kila mtu Anaachwa Nayo.... 

Ni kutokana na Jinsi ya mfumo wa Elimu ulivyo baada ya mafunzo Darasani Kuisha— Hakuna Ramani ya Maisha baada ya Chuo.. Muongozo Uliokamilika Nini Mtu afanye..Elimu Aliyoipata Imsaaidie wapi na namna gani.? Anawezaje Kuanza Kutafuta Ajira Akiwa Hajapata Cheti [Before Graduation] , Baada ya Kupata Cheti [After Graduation]..Kujiajiri Kutumia Elimu Yake au Nje na Taaluma Yake au Kuanza Uwekezaji..

Ni sawa na Kupewa Toolkit la Vifaa Vyote Hafu Hujui Kifaa Kipi Kinatumika Wapi na Kwa Namna Gani..Yaani Ni Kama Kujifunza Kuendesha Gari Ukiwa Umejifungia Chumbani Kwa Miaka 3 Mpaka 4 Hafu Unaachiwa Uende Barabarani Sasa Mwenyewe Ukajue Nini cha Kufanya.




Na Hizi Ndio Siri 15 Zitakazokusaidi Kama Utajifunza na Utaamua Kuzifanyia Kazi Vizuri ili Kupata Matokeo na Kufika Hapo Unapotarajia..

Moja 1#: 🔥 Tambua Ukweli Kuhusu Soko la Ajira – Nini kinaendelea kwa Sasa? Nini Kinahitajika Sokoni Kutoka Kwako Ili Kuboresha Mbinu zako za Kutafuta Ajira na Kuwa Mbele ya Ushindani.

Mbili 2#: Jua Thamani ya Elimu, Lengo Lake Haswa Kwako Ni Nini.? Kwanini Ulienda Kusoma.?, Ukifahamu ilo Basi Ni Rahisi Hata Kujua Jinsi Elimu yako ya Kitaalum “Civil engineering” inavyoweza kukusaidia na Jinsi Inavyoweza Kukukwamua Kwa Kujiajiri Binafsi wakati Unasubiri Mambo Mengine.

Ona Mfano Eng. Mohammed E alivyotengeneza zaidi ya Million 150 kwa kutumia Ujuzi wa elimu yake ya kitaalamu ya "Civil Engineering"

Tatu 3#: 💡 Fahamu Mihimili Mitatu (3) Muhimu  Katika Safari ya Mafanikio Baada ya Kumaliza Chuo itakuongeza Asilimia Kubwa ya Kupata Unachotarajia Ndani ya Muda Mfupi..

Nne 4#: 💼 Jua Njia Rahisi za Kuingia Kwenye Soko la Ajira ili Kupunguza Ugumu wa Wewe Kukubalika Kwenye Industry Kwa sababu Awali Unavyoanza Hamna Mtu Anaekujua na Kukuamini Hii ita Kuokolea Muda wa Kusubiri Mtaani.

Tano 5#: Kuna Mambo Makuu (4) Yanayochangia Kwa Asilimia Kubwa Kupata Kazi Katika Makampuni Binafsi [Wakandarasi] Ili Upate Kazi na Michongo kwa Wakandarasi Wengi Kama Mvua ya Mawe Hakikisha Unajua What Matters the Most..

Sita 6#: Jifunze Kujenga CV [WASIFU] wenye NGUVU na wenye kuwashawishi Waajiri ili waone unafaa Kwa Mahitaji Yako na Wakupe KAZI.

Sita 7#: Jenga Ujuzi Muhimu wa Kazi Unaotakiwa Kuwa Nao Ukiwa kwa Mkandarasi Ili Kuwa Mbele ya Waombaji Wengine.

Nane 8#: Kuwa na Maarifa Muhimu Kwenye Kazi za Ujenzi Ili Kuweza Kufanya kazi na Kusimamia Mradi wowote wa Ujenzi kwa Ufanisi zaidi na Kuboresha Uhitaji [DEMAND] Yako Katika SOKO.

Tisa 9#: Jua Vizuri Kutumia Makablasha “Construction Documents” Muhimu Kwa Ajili ya Usimamizi wa Miradi Ili Uweze Kusimamia na Kuendesha Miradi Mwanzo Mwisho kwa Ufanisi Zaidi.

Kumi 10#: Fahamu Changamoto Zinazopatikana Kwa Wakandarasi [Makampuni Binafsi] Ili Kujua Jinsi ya Kuzitatua na Kufanya Kazi Site bila Stress Lakini Pia Kuongeza Mbinu Nyingine za Kujikwamua ili Usiwe Mwizi na Ukaharibu Kazi za Watu.

Kumi na Moja 11#: Juu Mambo ya Kuzingatia Kwa Ajili Ya Maombi Ya Kazi za Serikali Kama Civil Technician/Engineer ili uwe shortlisted Kwenye Kila Kazi utakayoomba.

Kumi na Mbili 12#: Jifunze Vizuri Jinsi ya Kujiandaa na Usaili wa Kuandika Ajira za Serikali [UTUMISHI] Kada ya Uhandisi & Ujenzi ili Kuongeza Asilimia Kubwa ya Kufika Usaili wa Mahojiano ili kuongeza zaidi Asilimia za Ufaulu Unaotakiwa Kuingia Kwenye Database na Kupata Kazi Uliyoiomba.

Kumi na Tatu 13#: Kuna Mambo ya Kufanya “Civil Engineer/Technician” Baada ya Kutafuta Ajira au Kazi Bila Kufikia Matarajio Yako Ili Kuongeza Mbinu Mpya za kutafuta "PESA" Nje na Career yako.

Kumi na Nne 14#: Kuna Sekta 9 za Kiuchumi Zilizothibitishwa Miaka Nenda Rudi Ambazo Kila ”Civil Engineer/Technician” Anaweza Akawekeza na Zikampa Matokeo Ili Kuongeza vyanzo vyako vya Kipato Kupitia Uwekezaji wa PESA sehemu yenye Uhakika.

Kumi na Tano 15#: Hupendi Stress Huna Muda Usiache Hela Ikae bila Kuzaliana Kuna Sehemu Kuu Tatu za Kuwekeza na Kukuza Mtaji wako Ambazo Risk Free 100% bila hofu ya Hasara.

Na Hivyo Ndivyo Utakavyojikomba Kwenye ilo DIMBWI Kwa HARAKA.. 


Lakini Kama Utahitaji Kushikwa Mkono Katika ilo na Kuokoa MUDA Wako na Kufikia Unapotaka kwa HARAKA Nimekuandalia...

Program Inaitwa..

…” Maisha Baada ya Chuo Kama Civil Engineer/Technician ” …

Maisha Baada ya Chuo Civil Engineer/Technician eBook Cover
Ndani ya Program Hii Utajifunza Hizo Siri lakini Pia Utapata Majibu Ya Maswali Yako Yote Kama...

#1. Nitaanzia wapi baada ya kumaliza chuo, kabla sijaajiriwa na sina mtaji?

#2. Nitaanzia wapi kutengeneza pesa baada ya kumaliza chuo?

#3. Jinsi ya kutumia elimu yako ya kitaalamu ya "Civil Engineering" kujikwamua kiuchumi.

#4. Msingi wa kujiajiri moja kwa moja ikiwa ajira za makampuni binafsi na serikali zitakuwa changamoto.

#5. Nitapata vipi "connections" zitakazonisaidia kupata kazi?

#6. Jinsi ya kujenga uzoefu utakao kusaidia kupata kazi katika makampuni makubwa.

#7. Vitu gani vitakavyomfanya mhitimu wa Civil Engineering aweze kuendesha mradi mpaka mwisho kwa ufanisi?

#8. Itachukua muda gani kujiajiri au kupata ajira kama Civil Engineer/Technician?

#9. Je, nianze kufanya kazi inayohusiana na taaluma yangu ya Civil Engineering au kazi yeyote itakayopatikana kwa wakati huo?

#10. Nitaanzaje au nitaanzia wapi kuishi na kufanya kazi katika taaluma yangu ya Civil Engineering?

#11. Baada ya kumaliza chuo, nitawezaje kupata fursa za kuendeleza taaluma yangu kabla sijapata ajira?

#12. Ni changamoto gani zipo kwenye soko la ajira kwa sasa?

#13. Tofauti gani kati ya kufanya kazi serikalini na katika makampuni binafsi?




Program Hii Inakupitisha Katika HATUA ZOTE ( 1 - 5 ) kutoka Mtu Uliyekua GIZANI Kabisa Hujui Nini cha Kufanya wala Hujui wapi Pakuanzia Baada ya Kumaliza Chuo Kama Civil Engineer/Technician” Mpaka Mwisho Kabisa Kufikia Kwenye Malengo Makuu…



Program Hii Ni Maalum Kwa Ajili Yako Wewe..


MwanafunziMhitimu Mtarajiwa na Mhitimu Kada ya Uhandisi Ujenzi [Civil Engineering] Ngazi ya Diploma na Bachelor.!!

Workshop Training: Maisha Baada ya Chuo Kwa Wahitimu Civil Engineers/Technicians

Je, Una Mashaka Kama Hii Program Itakusaidia Kupata Muongozo na Majibu ya Maswali yako Yanayo Kutatiza Kichwa...

Tizama Wenzako Waliowahi Kupata Mafunzo Haya ..


Wanachosema....[..]


























Ndani Ya Program Hii Utapata Kujua Hizo Siri 15 Kiundani Zenye Kukusaidia Kupata Matokeo HARAKA Kama..


Moja 1#: 🔥 Ukweli Kuhusu Soko la Ajira – Nini kinaendelea kwa Sasa? Nini Kinahitajika Sokoni Kutoka Kwako Hivyo basi itakusaidia Kuboresha Mbinu zako za Kutafuta Ajira na Kuwa Mbele ya Ushindani.

Mbili 2#: Jinsi Elimu yako ya Kitaalum “Civil engineering” inavyoweza kukusaidia na Jinsi Inavyoweza Kukukwamua Kwa Kujiajiri Binafsi wakati Unasubiri Mambo Mengine.

Tatu 3#: 💡 Mihimili Mitatu (3) ya Kuzingatia Katika Safari ya Mafanikio Baada ya Kumaliza Chuo Hii Itaongeza Asilimia Kubwa ya Kupata Unachotarajia Ndani ya Muda Mfupi..

Nne 4#: 💼 Njia 2 Rahisi ya Kuingia Kwenye Soko la Ajira ili Kupunguza Ugumu wa Wewe Kukubalika Katika Kwenye Industry na Kuokoa Muda wa Kusubiri Mtaani.

Tano 5#: Kuandaa CV [WASIFU] wenye NGUVU na wenye kuwashawishi Waajiri ili waone unafaa Kwa Mahitaji Yako na Wakupe Nafasi ya KAZI.

Sita 6#: Mambo Makuu (4) Yanayochangia Kwa Asilimia Kubwa Kupata Kazi Katika Makampuni Binafsi [Wakandarasi] na Kuongeza DEMAND yako Hivyo basi Utahitaji na Kupata Kazi na Michongo kwa Wakandarasi Wengi Kama Mvua ya Mawe.

Saba 7#: Ujuzi Muhimu Unaotakiwa Kuwa Nao Ukiwa kwa Mkandarasi Hivyo basi Kuwa na Ujuzi Huu Kutakuweka Mbele ya Waombaji Wengine.

Nane 8#: Maarifa Muhimu Kwenye Kazi za Ujenzi Hivyo kufanya kazi na kusimamia mradi wowote wa Ujenzi kwa Ufanisi zaidi na Kuboresha Uhitaji Wako.

Tisa 9#: Makablasha “Construction Documents” Muhimu Kwa Ajili ya Usimamizi wa Miradi Hivyo basi Utakuwa na uwezo wa Kusimamia Miradi Mwanzo Mwisho kwa Ufanisi Zaidi.

Kumi 10#: Changamoto Zinazopatikana Kwa Mkandarasi hivyo Basi Itakuandaa Kuzitatua na Kufanya Kazi Site bila Stress.

Kumi na Moja 11#: Tofauti zilizopo kati ya kufanya kazi kwa Makampuni Binafsi, Kujiajiri na Kuajiriwa serikalini kama “Civil Engineer/Technician” Hii Itakusaidia kufanya Maamuzi bora ya Kudumu kuhusu Mwelekeo wa Hatima yako.

Kumi na Mbili 12#: Mambo Manne (4) ya Kuzingatia Kwa Ajili Ya Maombi Ya Kazi za Serikali Kama Civil Technician/Engineer ili uwe shortlisted Kwenye Kila Kazi utakayoomba.

Kumi na Tatu 13#: Mbinu za Kutumia Kujiandaa na Usaili wa Kuandika Kada ya Uhandisi & Ujenzi ili Kuongeza Asilimia Kubwa ya Kufika Usaili wa Mahojiano ili kuongeza zaidi ya Asilimia ya Ufaulu Mpaka Kuwa Kwenye Database na Kupata Kazi Uliyoiomba.

Kumi na Nne 14#: Mambo ya Kufanya “Civil Engineer/Technician” Baada ya Kutafuta Ajira au Kazi Bila Kupata Matarajio Yako Ndani ya Muda Hii itakusaidia Kuongeza Mbinu Mpya za kutafuta "PESA" Nje na Career yako.

Kumi na Tano 15#: Sekta 9 za Kiuchumi Ambazo Kila ”Civil Engineer/Technician” Anaweza Akawekeza na Zikampa Matokeo Hivyo basi Kuongeza vyanzo vyako vya Kipato Kupitia Uwekezaji wa Uhakika.

Kumi na Sita 16#: Sehemu Kuu Tatu za Kuwekeza na Kukuza Mtaji wako Ambazo Risk Free 100% hivyo basi Utapata Kukuza Mtaji wako Bila Hofu ya Hasara.

Gharama za Program Hii Ni..

Tsh. 150,000/=

Ila Kwa Sababu Hujawahi Kupata Kitu cha Thamani Chochote Kutoka Kwangu Na Ndio Mara Yako ya Kwanza Leo Hii na Unahitaji Kweli Kushikwa Mkono Basi Kwa Ajili Yako Utapata Kwa Bei ya OFA ya Kufa Mtu...💪

Tsh. 10,000/= TU! TU! 

Ni Sawa na Kulipia T-Shirt 👕 Moja Ambayo Ukiivaa Inachakaa na Haikusaidi Kutengeneza Hela Nyingine ila Unachokipata Baada ya Kulipia Haya MAFUNZO yana uhakika wakukulipa Milele Kama Utafata Kila Ambacho Kimefundishwa

Na Hii OFA Ni Kwa Watu 20 TU wa Kwanza Ndani ya Masaa 24..!!

(Ukiwa Kulipia Utakuwa Umeokoa Asilimia (93%) Yaani Tsh. 140,000/=) 

Lipia Sasa Kwa LIPA Namba (Voda)
5243942 
Jina Tony Mbugi

Kisha Nitumie Uthibitisho wa Muamala Kwa Njia ya WhatsApp Namba - (0746 452 103) Ndani ya Masaa 12 ili Nikuunge Katika [MAFUNZO]...




BONASI Zinazoambata na Hii Program... (Zenye Thamani Ya Tsh. 165,000/= ) Unapata BURE.!!


BONASI # 1: Utapata Kitabu BURE Kinachokuelekeza hatua kwa hatua Jinsi ya Kuandaa [Wasifu] CV yenye kiwango ...(Huwa inalipiwa Tshs 5,000).

BONASI # 2: Utapewa usaidizi BURE Kufungua Akaunti ya Ajira Portal na Kujaza Taarifa zako zote Mpaka Kufikisha Asilimia za Kuanza Kuomba Kazi na Barua zote za Kutafuta Kazi na Ushauri Jinsi ya Kuanzaa Kutafuta Kazi ....(Huwa inalipiwa Tshs 20,000).

BONASI # 3: Unaungwa BURE Kwenye Group la WhatsApp VIP Kwa Ajili ya Kupatiwa Usaidizi wa Karibu Muda Wote… (Huwa Linalipiwa Tshs 10,000).

BONASI # 4: Utapata Kitabu BURE cha Jinsi ya Kujiandaa na Interviews yoyote ile ya Kuandika UTUMISHI kada ya Civil Engineering… (Wengine huwa wanalipia Tshs 30,000 kwa sasa).

BONASI # 5: Unapata Program na Kitabu BURE cha Kuanzaa Kutengeneza Kipato Nje na Career yako...(Thamani yake Ni Tshs 25,000).

BONASI # 6: Unapata Madarasa Matatu na Vitabu BURE vya Kuanzaa Uwekezaji Ambao Ni Risk Free 100% Kukuza Kipato Chako...BURE..BURE...BURE!......(Thamani yake Ni Tshs 15,000).

BONASI # 7: Unapata Access ya Darasa BURE Njia 5 za Kutengeneza Pesa Kama Civil Engineer/Technician ...BURE...BURE...BURE!....(Thamani yake Ni Tshs 60,000)


Unahitaji Nini Kuingia Katika Program Hii.?

Kulipia TU Sasa Hivi Kwa Sababu OFA Unayoiona Unaweza Usije Kuiona Tena..!!




Labda Unaweza Kuwa Una Mashaka...


1. Vipi Kama Simu Yangu Imepotea Ndio Napoteza Kila Kitu.?
Hapana...Kwani Unalindwa na Hii GUARANTEE Utanitafuta kwa WhatsApp Kisha Nitakupatia Access ya Kila Kitu Tena.
2. Vipi Nisipopata MATOKEO Inamaana Pesa Yangu Ndio itakuwa imepotea Hivyo?...

USIJALI…Kwani Unalindwa na Hii GUARANTEE hapa chini…


Ikitokea Hujapata Kati ya Haya Matokeo, Moja Hujapata Pa Kuanzia Baada ya Kupitia Hii Program, Hujafaulu Written Interview Kati ya 3 Ulizoudhuria, Hujaweza Kuanzaa Kuwekeza Katika Chochote au Kujifunza Chochote Ambacho Kitakuingizia Pesa Ambacho Ndani ya Program Hii… basi Nitumie Ujumbe “0746-452-103” ili Nikurudishie Pesa yako bila Kukuuliza Swali lolote na Access ya Kila Kitu Unabaki Nayo… (kwahiyo hakuna RISK yoyote upande wako hamna cha Kupoteza)


Guarantee Button

TAHADHARI: Ofa Hii Itakuwa Hewa Kwa Gharama Hizo Kwa Muda wa Masaa 24 Tu …Kwahiyo Wahi Lipia SASAHIVI ili Usikose OFA Hii Kabla ya Kurudi Kwenye Gharama ya Juu zaida Tsh 150,000/=


P. S. OFA hii ni ya Masaa 24 Tu… ina maana baada ya Masaa 24 Kupita Hiki PROGRAM Itapatikana kwa Tshs 150,000…

….na Kibaya zaidi ni Kwamba Usipolipia Sasa Hivi Utakosa na BONASI Zote Zenye Thamani ya Tshs 165,000 BURE

Kwahiyo Wahi Chukua HATUA Sasahivi ⏰⌚ ili Kuepuka Gharama za Ziada!..




Kuhusu Mtoa Mafunzo..


Tony Mbugi Picture

Jina Langu ni Tony Mbugi,..

Naishi Mikahawani, Mbeya – Tanzania...

Ni Mhandisi Ujenzi “Civil Engineer” nimesajiliwa na Bodi ya wahandisi ERB -Tanzania, Author (2 Books) na pia ni Lecturer (Tanzanian University) , Tutor (UDEMY) na ni Director katika Kampuni ya Ujenzi Class V.

......Ninawasaidia Wahitimu na Wahitimu Watarajiwa Kada ya Uhandisi Ujenzi “Civil Engineering” Ngazi ya Diploma na Bachelor Kujenga Ujuzi Wenye Kuleta Matokeo Unaowasaidia Katika Kupata Ajira/Kazi, Kujiajiri, Kutengeneza na Kukuza Kipato na Kuwekeza....”






Jiunge Kwenye Group la WhatsApp @ https://chat.whatsapp.com/Bo9CcnRLw3t4hXNdOZaHAW


Previous Post Next Post